Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali na kufanya ´ibaadah nyenginezo baada ya kutumia baadhi ya vitu vyenye kuleta uchangamfu na kuondosha uchovu na uvivu?
Ibn ´Uthaymiyn: Je, tembe hizi zinaondosha akili?
Muulizaji: Hapana. Zinamfanya mtu kuwa na uchangamfu tu.
Ibn ´Uthaymiyn: Kizuizi kiko wapi? Haina neno na wala haina tatizo.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1760
- Imechapishwa: 11/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali na kufanya ´ibaadah nyenginezo baada ya kutumia baadhi ya vitu vyenye kuleta uchangamfu na kuondosha uchovu na uvivu?
Ibn ´Uthaymiyn: Je, tembe hizi zinaondosha akili?
Muulizaji: Hapana. Zinamfanya mtu kuwa na uchangamfu tu.
Ibn ´Uthaymiyn: Kizuizi kiko wapi? Haina neno na wala haina tatizo.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1760
Imechapishwa: 11/09/2020
https://firqatunnajia.com/kuswali-baada-ya-kunywa-kinywaji-cha-kuleta-uchangamfu-energy-drink/