Swali: Nimesoma Hadiyth katika baadhi ya vitabu vya du´aa ya kwamba mwenye kusoma Suurah ad-Dukhaan usiku, watamuombea msamaha Malaika 7.000. Upi usahihi wa Hadiyth hii?
Jibu: Sijui usahihi wake. Haina msingi kutokana na ninvyojua.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa/index.cfm?do=cms.scholarallsubjects&schid=8177
- Imechapishwa: 01/02/2024
Swali: Nimesoma Hadiyth katika baadhi ya vitabu vya du´aa ya kwamba mwenye kusoma Suurah ad-Dukhaan usiku, watamuombea msamaha Malaika 7.000. Upi usahihi wa Hadiyth hii?
Jibu: Sijui usahihi wake. Haina msingi kutokana na ninvyojua.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa/index.cfm?do=cms.scholarallsubjects&schid=8177
Imechapishwa: 01/02/2024
https://firqatunnajia.com/kusoma-suurah-ad-dukhaan-usiku/