Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Qur-aan kwa pamoja kwa sauti moja na khaswa siku ya ijumaa kabla ya imamu kuingia?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Jengine ni kuwa kukhusisha hilo siku ya ijumaa kabla ya imamu kuingia ni Bid´ah iliyozushwa.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/342-343)
- Imechapishwa: 23/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Qur-aan kwa pamoja kwa sauti moja na khaswa siku ya ijumaa kabla ya imamu kuingia?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Jengine ni kuwa kukhusisha hilo siku ya ijumaa kabla ya imamu kuingia ni Bid´ah iliyozushwa.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/342-343)
Imechapishwa: 23/08/2020
https://firqatunnajia.com/kusoma-qur-aan-kwa-pamoja-siku-ya-ijumaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
