Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Qur-aan kwa pamoja kwa sauti moja na khaswa siku ya ijumaa kabla ya imamu kuingia?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Jengine ni kuwa kukhusisha hilo siku ya ijumaa kabla ya imamu kuingia ni Bid´ah iliyozushwa.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/342-343)
- Imechapishwa: 23/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Qur-aan kwa pamoja kwa sauti moja na khaswa siku ya ijumaa kabla ya imamu kuingia?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Jengine ni kuwa kukhusisha hilo siku ya ijumaa kabla ya imamu kuingia ni Bid´ah iliyozushwa.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/342-343)
Imechapishwa: 23/08/2020
https://firqatunnajia.com/kusoma-qur-aan-kwa-pamoja-siku-ya-ijumaa/