Swali: Je, inajuzu kwa mtu kuwakusanya watu na akawaamrisha kumsomea Qur-aan kwa lengo moja wapo kama mfano wa kubadilisha kazi na akawakusanya watu wamsomee Qur-aan ili aweze kufikiwa na baraka katika kazi yake?
Jibu: Allaah ameteremsha Qur-aan ili watu waabudu kwa kisomo chake na kutendea kazi hukumu zake na iwe ni miujiza kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kitendo hichi ulichotaja sio miongoni mwa mambo yaliyoweka Allaah (Subhaanah).
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/343)
- Imechapishwa: 23/08/2020
Swali: Je, inajuzu kwa mtu kuwakusanya watu na akawaamrisha kumsomea Qur-aan kwa lengo moja wapo kama mfano wa kubadilisha kazi na akawakusanya watu wamsomee Qur-aan ili aweze kufikiwa na baraka katika kazi yake?
Jibu: Allaah ameteremsha Qur-aan ili watu waabudu kwa kisomo chake na kutendea kazi hukumu zake na iwe ni miujiza kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kitendo hichi ulichotaja sio miongoni mwa mambo yaliyoweka Allaah (Subhaanah).
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/343)
Imechapishwa: 23/08/2020
https://firqatunnajia.com/kukusanyika-kusoma-qur-aan-kwa-ajili-ya-kupata-baraka-kazini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)