Swali: Je, inajuzu kusoma Qaswiydah al-Burdaa au hapana?
Jibu: Haijuzu kusoma Qaswiydah al-Budaa kutokana na Shirki ilionayo na Bid´ah. Kuisoma ni kuieneza kati ya watu. Lililo la wajibu ni kuivunja na kuichukulia hatua na isiachwe ikaenezwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-7-27.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Je, inajuzu kusoma Qaswiydah al-Burdaa au hapana?
Jibu: Haijuzu kusoma Qaswiydah al-Budaa kutokana na Shirki ilionayo na Bid´ah. Kuisoma ni kuieneza kati ya watu. Lililo la wajibu ni kuivunja na kuichukulia hatua na isiachwe ikaenezwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-7-27.mp3
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/kusoma-qaswiydah-al-burdaa__trashed/