Swali: Baadhi ya wanachuoni Yemen wanajuzisha mwanamke kutembelea makaburi. Tunataka Fatwa ya wazi juu ya hilo.
Jibu: Sisi hatujuzishi hilo kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi. Laana haiwi isipokuwa kwa dhambi kubwa. Haijuzu kwa mwanamke kutembelea makaburi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-7-27.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Baadhi ya wanachuoni Yemen wanajuzisha mwanamke kutembelea makaburi. Tunataka Fatwa ya wazi juu ya hilo.
Jibu: Sisi hatujuzishi hilo kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi. Laana haiwi isipokuwa kwa dhambi kubwa. Haijuzu kwa mwanamke kutembelea makaburi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-7-27.mp3
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/sisi-hatujuzishi-hilo-kwa-wanawake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)