Swali: Je, mtu aigawanye as-Sajdah katika swalah ya Fajr kati ya Rak´ah mbili?
Jibu: Hapana. Sunnah ni yeye asome as-Sajdah katika Rak´ah ya kwanza na al-Insaan katika Rak´ah ya pili. Hii ndio Sunnah.
Swali: Je, mtu anaweza kusema kuwa ni Bid´ah?
Jibu: Hapana, ameenda kinyume na Sunnah. Si lazima iwe Bid´ah. Ni kwenda kinyume na Sunnah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23526/هل-تقرا-السجدة-في-صلاة-الفجر-في-ركعتين
- Imechapishwa: 07/02/2024
Swali: Je, mtu aigawanye as-Sajdah katika swalah ya Fajr kati ya Rak´ah mbili?
Jibu: Hapana. Sunnah ni yeye asome as-Sajdah katika Rak´ah ya kwanza na al-Insaan katika Rak´ah ya pili. Hii ndio Sunnah.
Swali: Je, mtu anaweza kusema kuwa ni Bid´ah?
Jibu: Hapana, ameenda kinyume na Sunnah. Si lazima iwe Bid´ah. Ni kwenda kinyume na Sunnah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23526/هل-تقرا-السجدة-في-صلاة-الفجر-في-ركعتين
Imechapishwa: 07/02/2024
https://firqatunnajia.com/kusoma-as-sajdah-katika-rakah-mbili-za-fajr-ya-siku-ya-ijumaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)