Swali: Ni ipi hukumu ya msemo “al-Faatihah juu ya roho ya fulani”, “al-Faatihah Allaah atusahilishie jambo lile”, baada ya kuzaliwa wanasoma al-Faatihah au baada ya kumaliza kusoma Qur-aan wanasema “al-Faatihah” na waliohudhuria pale wanasoma. Kadhalika desturi imezowea kusoma al-Faatihah kabla ya ndoa. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Kusoma al-Faatihah baada ya du´aa, baada ya kumaliza kusoma Qur-aan au kabla ya ndoa ni Bid´ah. Hilo halikuthibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wala Maswahabah zake (Radhiya Allaahu ´anhum). Imethibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba amesema:
“Mwenye kufanya kitendo kisichokuwa humo dini yetu atarudishiwa mwenyewe.”
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (02/384)
- Imechapishwa: 23/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya msemo “al-Faatihah juu ya roho ya fulani”, “al-Faatihah Allaah atusahilishie jambo lile”, baada ya kuzaliwa wanasoma al-Faatihah au baada ya kumaliza kusoma Qur-aan wanasema “al-Faatihah” na waliohudhuria pale wanasoma. Kadhalika desturi imezowea kusoma al-Faatihah kabla ya ndoa. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Kusoma al-Faatihah baada ya du´aa, baada ya kumaliza kusoma Qur-aan au kabla ya ndoa ni Bid´ah. Hilo halikuthibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wala Maswahabah zake (Radhiya Allaahu ´anhum). Imethibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba amesema:
“Mwenye kufanya kitendo kisichokuwa humo dini yetu atarudishiwa mwenyewe.”
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (02/384)
Imechapishwa: 23/08/2020
https://firqatunnajia.com/kusoma-al-faatihah-kabla-na-baada-ya-mambo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)