Swali: Je, ni katika Sunnah au inajuzu kusoma al-Faatihah baada ya swalah ya faradhi sawa mtu kivyake au kwa pamoja?
Jibu: Kusoma al-Faatihah baada ya faradhi, sawa mtu kivyake au kwa pamoja, sio katika Sunnah.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (02/384)
- Imechapishwa: 23/08/2020
Swali: Je, ni katika Sunnah au inajuzu kusoma al-Faatihah baada ya swalah ya faradhi sawa mtu kivyake au kwa pamoja?
Jibu: Kusoma al-Faatihah baada ya faradhi, sawa mtu kivyake au kwa pamoja, sio katika Sunnah.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (02/384)
Imechapishwa: 23/08/2020
https://firqatunnajia.com/al-faatihah-baada-ya-swalah-za-faradhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)