Swali: Anayeswali swalah inayopendeza arefushe Sujuud kuliko anavyorefusha kisimamo?
Jibu: Hapana, swalah yake iwe ya kati na kati. al-Baraa´ (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza:
“Nimetazama swalah yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kuona kisimamo chake, Rukuu´ yake, kuinuka kwake kutoka katika Rukuu´, Sujuud yake na kikao chake kati ya sijda mbili vinakaribiana.”
Kwa maana nyingine swalah yake inakuwa wastani na yenye kukaribiana.
Swali: Je, akemewe anayefanya hivo?
Jibu: Jambo ni lenye wasaa. Hakuna kukemeana. Jambo ni lenye wasaa. Mtu asifanye ugumu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22627/حكم-اطالة-سجود-النافلة-اكثر-من-القيام
- Imechapishwa: 14/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)