Swali: Vipi kwa ambaye anarudisha nyuma sehemu kubwa ya Hadiyth kwa kutumia akili?
Jibu: Hakuna wenye kuona hivo isipokuwa wanafalsafa. Hiyo ni dhambi. Bali ni lazima kuifanyia kazi kwa mujibu wa njia zake zinazokubalika katika Shari´ah; kwa njia ya maimamu wa Hadiyth na kutafiti cheni za wapokezi wake. Ni batili kuifanya akili ndio yenye kuamua. Ni miongoni mwa matendo ya Jahmiyyah na mfano wao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23068/حكم-رد-الاحاديث-النبوية-بالعقل
- Imechapishwa: 25/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)