Swali: Amekula kiapo (البيعة) ya kuacha mambo ya haramu. Je, inasihi kufanya hivo kwa asiyekuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Ndio. Kitendo cha wao kutomuasi Allaah ni jambo zuri.
Swali: Nakusudia endapo watu wawili watawekeana kiapo cha kuacha maasi.
Jibu: Hapana. Jambo hilo linakuwa kwa mtawala. Jambo la kula kiapo linakuwa kwa mtawala.
Swali: Nakusudia wakipeana kiapo kati yao cha kuacha maasi?
Jibu: Hapana, hakuna haja ya kupeana kiapo. Ni lazima kwao kupeana wasia na kunasihiana na kutubu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22015/هل-تصح-البيعة-بين-الناس-لترك-المعاصي
- Imechapishwa: 16/10/2022
Swali: Amekula kiapo (البيعة) ya kuacha mambo ya haramu. Je, inasihi kufanya hivo kwa asiyekuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Ndio. Kitendo cha wao kutomuasi Allaah ni jambo zuri.
Swali: Nakusudia endapo watu wawili watawekeana kiapo cha kuacha maasi.
Jibu: Hapana. Jambo hilo linakuwa kwa mtawala. Jambo la kula kiapo linakuwa kwa mtawala.
Swali: Nakusudia wakipeana kiapo kati yao cha kuacha maasi?
Jibu: Hapana, hakuna haja ya kupeana kiapo. Ni lazima kwao kupeana wasia na kunasihiana na kutubu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22015/هل-تصح-البيعة-بين-الناس-لترك-المعاصي
Imechapishwa: 16/10/2022
https://firqatunnajia.com/kupeana-kiapo-kati-ya-watu-wawili-kuacha-maasi/