Swali: Amekula kiapo (البيعة) ya kuacha mambo ya haramu. Je, inasihi kufanya hivo kwa asiyekuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Ndio. Kitendo cha wao kutomuasi Allaah ni jambo zuri.
Swali: Nakusudia endapo watu wawili watawekeana kiapo cha kuacha maasi.
Jibu: Hapana. Jambo hilo linakuwa kwa mtawala. Jambo la kula kiapo linakuwa kwa mtawala.
Swali: Nakusudia wakipeana kiapo kati yao cha kuacha maasi?
Jibu: Hapana, hakuna haja ya kupeana kiapo. Ni lazima kwao kupeana wasia na kunasihiana na kutubu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22015/هل-تصح-البيعة-بين-الناس-لترك-المعاصي
- Imechapishwa: 16/10/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)