Swali: Baadhi ya watu wanajiua kutokana na sababu fulani na fulani. Je, mtu huyu atafanyiwa hesabu siku ya Qiyaamah?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kuiua nafsi yake kwa kitu basi ataadhibiwa kwacho siku ya Qiyaamah.”
Haijuzu kwa mtu kujiua kwa sababu ya kitu fulani na fulani au kwa ajili ya kumtetea fulani. Amtetee lakini asijiue nafsi yake.
Swali: Je, mtu huyu atafanyiwa hesabu?
Jibu: Hesabu yake iko kwa Allaah. Yeye ndiye atamfanyia hesabu. Akitaka kumsamehe basi atamsamehe na akitaka kumuadhibu basi atamuadhibu. Jambo liko mikononi Mwake (Subhaanahu wa Ta´ala). Yeye anamuadhibu na kumrehemu amtakaye. Hapa ni kwa yale madhambi yaliyo chini ya shirki.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22014/ما-جزاء-من-يقتل-نفسه
- Imechapishwa: 16/10/2022
Swali: Baadhi ya watu wanajiua kutokana na sababu fulani na fulani. Je, mtu huyu atafanyiwa hesabu siku ya Qiyaamah?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule mwenye kuiua nafsi yake kwa kitu basi ataadhibiwa kwacho siku ya Qiyaamah.”
Haijuzu kwa mtu kujiua kwa sababu ya kitu fulani na fulani au kwa ajili ya kumtetea fulani. Amtetee lakini asijiue nafsi yake.
Swali: Je, mtu huyu atafanyiwa hesabu?
Jibu: Hesabu yake iko kwa Allaah. Yeye ndiye atamfanyia hesabu. Akitaka kumsamehe basi atamsamehe na akitaka kumuadhibu basi atamuadhibu. Jambo liko mikononi Mwake (Subhaanahu wa Ta´ala). Yeye anamuadhibu na kumrehemu amtakaye. Hapa ni kwa yale madhambi yaliyo chini ya shirki.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22014/ما-جزاء-من-يقتل-نفسه
Imechapishwa: 16/10/2022
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kwa-mtu-kujiua/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)