Swali: Nilifanya Tayammum na nikaswali swalah ya faradhi. Kisha nikapata maji kabla ya kutoka nje wakati wa swalah…
Jibu: Maadamu uliposwali ulikuwa hukupata maji, swalah yako ni sahihi. Kwa kuwa umeijenga juu ya twahara iliyowekwa katika Shari´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 09/11/2016
Swali: Nilifanya Tayammum na nikaswali swalah ya faradhi. Kisha nikapata maji kabla ya kutoka nje wakati wa swalah…
Jibu: Maadamu uliposwali ulikuwa hukupata maji, swalah yako ni sahihi. Kwa kuwa umeijenga juu ya twahara iliyowekwa katika Shari´ah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 09/11/2016
https://firqatunnajia.com/kupata-maji-baada-ya-swalah/