Swali: Nilifanya Tayammum na nikaswali swalah ya faradhi. Kisha nikapata maji kabla ya kutoka nje wakati wa swalah…
Jibu: Maadamu uliposwali ulikuwa hukupata maji, swalah yako ni sahihi. Kwa kuwa umeijenga juu ya twahara iliyowekwa katika Shari´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 09/11/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket