Swali: Baadhi ya watu wanasema kuwa haitakikani kuwashughulisha wasiokuwa wasomi na mambo ya ´Aqiydah kama mfano wa kuwaambia kwamba Allaah yuko juu ya mbingu na mengineyo?
Jibu: ´Aqiydah ndio jambo muhimu zaidi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliikaa Makkah akiithibitisha ´Aqiydah kwa miaka kumi na tatu. Miaka yote hiyo aliitumia katika ´Aqiydah. ´Aqiydah ndio msingi wa dini.
Swali: Mwenye kusema hivi anazingatiwa ni katika wanachuoni?
Jibu: Hapana, hazingatiwi ni katika wanachuoni. Bali anazingatiwa ni katika wajinga.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 34
- Imechapishwa: 09/11/2016
Swali: Baadhi ya watu wanasema kuwa haitakikani kuwashughulisha wasiokuwa wasomi na mambo ya ´Aqiydah kama mfano wa kuwaambia kwamba Allaah yuko juu ya mbingu na mengineyo?
Jibu: ´Aqiydah ndio jambo muhimu zaidi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliikaa Makkah akiithibitisha ´Aqiydah kwa miaka kumi na tatu. Miaka yote hiyo aliitumia katika ´Aqiydah. ´Aqiydah ndio msingi wa dini.
Swali: Mwenye kusema hivi anazingatiwa ni katika wanachuoni?
Jibu: Hapana, hazingatiwi ni katika wanachuoni. Bali anazingatiwa ni katika wajinga.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 34
Imechapishwa: 09/11/2016
https://firqatunnajia.com/msiwashughulishe-wasiokuwa-wasomi-mambo-ya-tawhiyd-na-aqiydah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)