Swali: Je, imethibiti Muislamu baada ya kusoma kwake Adhkaar za asubuhi na jioni apulize kwenye mikono yake kisha apanguse kwa mikono yake mwili wake mzima?
Jibu: Hili ni wakati wa kulala. Hili limethibiti wakati wa kulala ndio anatakiwa kusoma Suurah tatu; al-Ikhlaasw, an-Naas na al-Falaq kisha apanguse mwili wake, kama alivyokuwa akifanya (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ama nyuradi, hapana, halikuthibiti kutokana na ninavyojua.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-9.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Je, imethibiti Muislamu baada ya kusoma kwake Adhkaar za asubuhi na jioni apulize kwenye mikono yake kisha apanguse kwa mikono yake mwili wake mzima?
Jibu: Hili ni wakati wa kulala. Hili limethibiti wakati wa kulala ndio anatakiwa kusoma Suurah tatu; al-Ikhlaasw, an-Naas na al-Falaq kisha apanguse mwili wake, kama alivyokuwa akifanya (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ama nyuradi, hapana, halikuthibiti kutokana na ninavyojua.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-9.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/kupangusa-mwili-baada-ya-adhkaar-za-asubuhi-na-jioni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)