Swali: Mimi ni mwanamke mwenye msimamo katika dini ya Allaah. Nina watoto wasioswali na wanasikiliza nyimbo. Nimewanasihi mara nyingi lakini pasi na mafanikio yoyote. Wakati mwingine ninakuwa mgumu kwao. Je, ninapata dhambi kwa ugumu huu? Unaninasihi nini?
Jibu: Ninakunasihi kuomba msaada kutoka kwa Allaah na uendelee kuwanasihi. Mambo yakihitajia kuwa mgumu ni sawa. Ugumu huu ni kwa ajili ya dini ya Allaah na kwa ajili waathirike na waache yale waliyomo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-9.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Mimi ni mwanamke mwenye msimamo katika dini ya Allaah. Nina watoto wasioswali na wanasikiliza nyimbo. Nimewanasihi mara nyingi lakini pasi na mafanikio yoyote. Wakati mwingine ninakuwa mgumu kwao. Je, ninapata dhambi kwa ugumu huu? Unaninasihi nini?
Jibu: Ninakunasihi kuomba msaada kutoka kwa Allaah na uendelee kuwanasihi. Mambo yakihitajia kuwa mgumu ni sawa. Ugumu huu ni kwa ajili ya dini ya Allaah na kwa ajili waathirike na waache yale waliyomo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-9.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/mama-anatakiwa-awe-mkali-katika-mambo-ya-dini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)