Swali: Je, ni sahihi kwangu kufanya ndoa na msichana wa mama mdogo au hapana?
Jibu: Kufanya ndoa na msichana wa mama mdogo na mjomba, wote hawa inajuzu. Lililo la haramu ni kumuoa mama mdogo au shangazi mwenyewe. Ama msichana wa mama mdogo, msichana wa shangazi na msichana wa mjomba, hakuna ubaya wa hilo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alharamain.gov.sa/index.cfm?do=cms.scholarallsubjects&schid=8177
- Imechapishwa: 01/02/2024
Swali: Je, ni sahihi kwangu kufanya ndoa na msichana wa mama mdogo au hapana?
Jibu: Kufanya ndoa na msichana wa mama mdogo na mjomba, wote hawa inajuzu. Lililo la haramu ni kumuoa mama mdogo au shangazi mwenyewe. Ama msichana wa mama mdogo, msichana wa shangazi na msichana wa mjomba, hakuna ubaya wa hilo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alharamain.gov.sa/index.cfm?do=cms.scholarallsubjects&schid=8177
Imechapishwa: 01/02/2024
https://firqatunnajia.com/kuoa-mtoto-wa-mjomba-na-mama-mdogo-au-mama-mkubwa/