Swali: Vipi kuhusu kunyanyua mikono mbele ya kaburi wakati wa kumuombea maiti?
Jibu: Hapana vibaya. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema kuwa wakati (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoyatembelea makaburi alinyanyua mikono yake.
Swali: Alifanye kaburi kuwa kati yake yeye na Qiblah?
Jibu: Upande wowote. Wigo ni mpana katika jambo hili.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22319/حكم-وكيفية-الدعاء-عند-القبر
- Imechapishwa: 04/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)