Swali: Kuomba du´aa wakati wa majanga?
Jibu: Ni sawa akaomba. Hapana vibaya.
Swali: Je, kumepokelewa andiko kuhusu kunyanyua mikono katika du´aa ya Qunuut?
Jibu: Ndio, imepokelewa kwamba alinyanyua mikono yake katika Qunuut dhidi ya majanga. Vivyo hivyo kuhusu Qunuut ya Witr. Msingi ni kama vivyo hivyo, kwa sababu zote ni Qunuut na zote ni du´aa. Andiko la wazi ni kuhusu Qunuut ya majanga na Qunuut ya Witr inakuwa vivyo hivyo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23165/حكم-الدعاء-بقنوت-النوازل-ورفع-اليدين
- Imechapishwa: 17/11/2023
Swali: Kuomba du´aa wakati wa majanga?
Jibu: Ni sawa akaomba. Hapana vibaya.
Swali: Je, kumepokelewa andiko kuhusu kunyanyua mikono katika du´aa ya Qunuut?
Jibu: Ndio, imepokelewa kwamba alinyanyua mikono yake katika Qunuut dhidi ya majanga. Vivyo hivyo kuhusu Qunuut ya Witr. Msingi ni kama vivyo hivyo, kwa sababu zote ni Qunuut na zote ni du´aa. Andiko la wazi ni kuhusu Qunuut ya majanga na Qunuut ya Witr inakuwa vivyo hivyo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23165/حكم-الدعاء-بقنوت-النوازل-ورفع-اليدين
Imechapishwa: 17/11/2023
https://firqatunnajia.com/kunyanyua-mikono-katika-qunuut-wakati-wa-majanga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)