Swali: Imetokea kwamba wapambana jihaad wanahisi damu za wenzao ni zina harufu nzuri kama ya miski?

Jibu: Kama yamesihi maneno yao basi ni katika karama. Ikiwa ni waongo basi si katika karama.

Swali: Kunaweza kusemwa kwa njia ya kukata kwamba ni karamu kwa wasiokuwa Maswahabah?

Jibu: Ndio, hata watu wa wakati wa sasa. Muda wa kuwa ni watu walionyooka.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23166/هل-تثبت-الكرامات-لمن-دون-الصحابة
  • Imechapishwa: 17/11/2023