Swali: Mtunzi wa “az-Zaad” amesema:
“Imesuniwa akanyanyua kichwa chake wakati wa adhaana.”
Je, ipo dalili au Athar juu ya jambo hilo?
Jibu: Imepokelewa katika baadhi ya mapokezi kwamba afanye hivo baada ya kutawadha kisha aombe du´aa. Kuhusu kunyanyua kichwa wakati wa adhaana sijui msingi wa hilo. Anachotakiwa ni kuelekea Qiblah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
- Imechapishwa: 22/08/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket