Swali: Je, kuna kikomo kipambanuzi kati ya iqaamah na swalah?
Jibu: Hakuna kikomo maalum. Muhimu iwe kitu kisichowadhuru watu. Asiharakishe ili watu waweze kuwahi. Isipokuwa inapokuja katika Dhuhr wakati wa jua kali bora ni kuchelewesha. ´Ishaa pia kama hawajakusanyika bora ni kuchelewesha. Nyakati zilizosalia wazingatie wakati unaofaa kwa mfano robo saa, dakika ishirini, theluthi moja ya saa ili watu waweze kuwahi. Hakuna kikomo maalum. Awafanyie upole.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23712/ما-مدة-الفصل-بين-الاقامة-والصلاة
- Imechapishwa: 08/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)