Swali: Je, kuna kikomo kipambanuzi kati ya iqaamah na swalah?
Jibu: Hakuna kikomo maalum. Muhimu iwe kitu kisichowadhuru watu. Asiharakishe ili watu waweze kuwahi. Isipokuwa inapokuja katika Dhuhr wakati wa jua kali bora ni kuchelewesha. ´Ishaa pia kama hawajakusanyika bora ni kuchelewesha. Nyakati zilizosalia wazingatie wakati unaofaa kwa mfano robo saa, dakika ishirini, theluthi moja ya saa ili watu waweze kuwahi. Hakuna kikomo maalum. Awafanyie upole.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23712/ما-مدة-الفصل-بين-الاقامة-والصلاة
- Imechapishwa: 08/04/2024
Swali: Je, kuna kikomo kipambanuzi kati ya iqaamah na swalah?
Jibu: Hakuna kikomo maalum. Muhimu iwe kitu kisichowadhuru watu. Asiharakishe ili watu waweze kuwahi. Isipokuwa inapokuja katika Dhuhr wakati wa jua kali bora ni kuchelewesha. ´Ishaa pia kama hawajakusanyika bora ni kuchelewesha. Nyakati zilizosalia wazingatie wakati unaofaa kwa mfano robo saa, dakika ishirini, theluthi moja ya saa ili watu waweze kuwahi. Hakuna kikomo maalum. Awafanyie upole.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23712/ما-مدة-الفصل-بين-الاقامة-والصلاة
Imechapishwa: 08/04/2024
https://firqatunnajia.com/kuna-wakati-maalum-unaotakiwa-kuwekwa-baina-ya-kukimu-na-kuswali/