Swali: Ni ipi namna ya kupongezana kwa ajili ya ´Iyd-ul-Adhwhaa iliyobarikiwa? Tumekwishatangulia kwamba siku ya ´Iyd-ul-Fitwr watu huambizana:
تقبل الله منا ومنكم صالح الأعمال
“Allaah atutakabalie matendo yetu mema sisi na nyinyi.”
Tuseme nini kuhusu ´Iyd-ul-Adhwhaa?
Jibu: Kitu hiki hakina namna maalum. Akimwombea du´aa kwa kusema:
تقبل الله منا ومنكم
“Allaah atutakabalie sisi na nyinyi.”
عيدكم مبارك
“[Nakutakieni] sikukuu yenu iliyobarikiwa.”
العيد مبارك
“[Nakutakieni] sikukuu iliyobarikiwa.”
جعل الله عيدكم مباركًا
“Allaah afanye sikukuu yenu ni yenye kubarikiwa.”
Ni mamoja ni ´Iyd-ul-Adhwhaa au ´Iyd-ul-Fitwr. Zote ni moja. Vivyo hivyo kuhusu hajj:
حجك مقبول
“Hija yako yenye kukubaliwa.”
تقبل الله منك
“Allaah akukubalie.”
عمرة مقبولة
“´Umrah yenye kukubaliwa.”
تقبل الله منك
“Allaah akukubalie.”
Zote hizi na mfano wake ni zenye kutosha. Tunamuomba Allaah atuongoze na kutuwafikisha sote.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/18428/صفة-التهنىة-بالعيد
- Imechapishwa: 30/04/2022
Swali: Ni ipi namna ya kupongezana kwa ajili ya ´Iyd-ul-Adhwhaa iliyobarikiwa? Tumekwishatangulia kwamba siku ya ´Iyd-ul-Fitwr watu huambizana:
تقبل الله منا ومنكم صالح الأعمال
“Allaah atutakabalie matendo yetu mema sisi na nyinyi.”
Tuseme nini kuhusu ´Iyd-ul-Adhwhaa?
Jibu: Kitu hiki hakina namna maalum. Akimwombea du´aa kwa kusema:
تقبل الله منا ومنكم
“Allaah atutakabalie sisi na nyinyi.”
عيدكم مبارك
“[Nakutakieni] sikukuu yenu iliyobarikiwa.”
العيد مبارك
“[Nakutakieni] sikukuu iliyobarikiwa.”
جعل الله عيدكم مباركًا
“Allaah afanye sikukuu yenu ni yenye kubarikiwa.”
Ni mamoja ni ´Iyd-ul-Adhwhaa au ´Iyd-ul-Fitwr. Zote ni moja. Vivyo hivyo kuhusu hajj:
حجك مقبول
“Hija yako yenye kukubaliwa.”
تقبل الله منك
“Allaah akukubalie.”
عمرة مقبولة
“´Umrah yenye kukubaliwa.”
تقبل الله منك
“Allaah akukubalie.”
Zote hizi na mfano wake ni zenye kutosha. Tunamuomba Allaah atuongoze na kutuwafikisha sote.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/18428/صفة-التهنىة-بالعيد
Imechapishwa: 30/04/2022
https://firqatunnajia.com/kuna-tamko-maalum-kwa-ajili-ya-kupongezana-iyd-ul-adhwhaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)