Swali: Muislamu akinipa chakula kilicho na nyama na sijui kama kimetoka nchi ya nje au hapana nimuulize au nijengee kwa lile ambalo nadhania sana?
Jibu: Usimuulize na wala usijikalifishe. Ukitaka kula na ukitaka acha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (21) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-2-22.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Muislamu akinipa chakula kilicho na nyama na sijui kama kimetoka nchi ya nje au hapana nimuulize au nijengee kwa lile ambalo nadhania sana?
Jibu: Usimuulize na wala usijikalifishe. Ukitaka kula na ukitaka acha.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (21) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-2-22.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/kumuuliza-muislamu-juu-ya-nyama-aliyokupa/