Swali: Mamangu ni kafiri. Inajuzu kwenda kumtembelea nyumbani kwake?
Jibu: Ndio. Mzazi ana haki yake hata kama atakuwa kafiri. Haki ya mzazi ni kutendewa wema na kutunzwa vizuri. Usifuate dini yake:
وَإِن جَاهَدَاكَ عَلَىٰ أَن تُشْرِكَ بِي مَا لَيْسَ لَكَ بِهِ عِلْمٌ فَلَا تُطِعْهُمَا
“Lakini [wazizi wawili] wakikufanyia juhudi kwamba unishirikishe na yale usiyokuwa na elimu nayo, basi usiwatii.” (31:15)
Usiwatii katika mambo ya dini. Ama kuhusu kuwatunza vizuri na kuwatendea wema ni katika aina ya kulipiza wema.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)