Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kukata nywele zake?
Jibu: Haijuzu. Haijuzu kwake kukata nywele zake. Hakuamrishwa hata kuzikata nywele zake katika hajj na ´umrah isipokuwa kiwango sawa na ncha ya kidole. Katika hali hii ndipo anatakiwa kukata kiwango sawa na ncha ya kidole kwa juu au akiwa amesuka. Hata hivyo haijuzu kwake kujikata kwa lengo la kujipamba.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kukata nywele zake?
Jibu: Haijuzu. Haijuzu kwake kukata nywele zake. Hakuamrishwa hata kuzikata nywele zake katika hajj na ´umrah isipokuwa kiwango sawa na ncha ya kidole. Katika hali hii ndipo anatakiwa kukata kiwango sawa na ncha ya kidole kwa juu au akiwa amesuka. Hata hivyo haijuzu kwake kujikata kwa lengo la kujipamba.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-inajuzu-kwa-mwanamke-kukata-nywele/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket