Swali: Baadhi ya watu wanamtia aibu maiti.
Jibu: Haijuzu. Kumsengenya maiti ni kubaya zaidi kuliko kumsengenya aliye hai. Hapa ni pale ambapo jambo ni lenye kujificha. Lakini [ni sawa ikiwa ni] kitu kilicho dhahiri ambacho malengo ya mtu ni kukitahadharisha, kwa sababu watu wanamwigiliza ambapo mtu akabainisha kuwa jambo hilo halijuzu na kwamba haijuzu kumfuata mtu fulani katika Bid´ah au maasi yake yaliyo dhahiri.
Swali: Vipi kwa mlinganizi anayelingania katika shari?
Jibu: Ndio, jambo ambalo mtu anachelea akafuatwa na wengine katika shari hiyo. Shari iliyo waziwazi.
Swali: Vipi ikiwa shari yake ni yenye kufupika naye?
Jibu: Ikiwa shari yake ni yenye kujificha na haiko dhahiri, mtu asiipeleleze.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23436/ما-حكم-غيبة-الميت
- Imechapishwa: 21/01/2024
Swali: Baadhi ya watu wanamtia aibu maiti.
Jibu: Haijuzu. Kumsengenya maiti ni kubaya zaidi kuliko kumsengenya aliye hai. Hapa ni pale ambapo jambo ni lenye kujificha. Lakini [ni sawa ikiwa ni] kitu kilicho dhahiri ambacho malengo ya mtu ni kukitahadharisha, kwa sababu watu wanamwigiliza ambapo mtu akabainisha kuwa jambo hilo halijuzu na kwamba haijuzu kumfuata mtu fulani katika Bid´ah au maasi yake yaliyo dhahiri.
Swali: Vipi kwa mlinganizi anayelingania katika shari?
Jibu: Ndio, jambo ambalo mtu anachelea akafuatwa na wengine katika shari hiyo. Shari iliyo waziwazi.
Swali: Vipi ikiwa shari yake ni yenye kufupika naye?
Jibu: Ikiwa shari yake ni yenye kujificha na haiko dhahiri, mtu asiipeleleze.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23436/ما-حكم-غيبة-الميت
Imechapishwa: 21/01/2024
https://firqatunnajia.com/kumsengenya-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)