Swali: Ng´ombe amemkimbia mchinjaji, ambapo akampiga risasi mpaka akafa. Baada ya hapo akamleta machinjioni na kumuuza kana kwamba amemchinja kwa kisu. Je, inafaa kumla ng´ombe huyu?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Wanyama wa mifugo hawa wana unyama, kama wanyama pori. Wakikukimbieni, basi wafanyeni namna hii.”[1]
Bi maana kupenyeza mahali kokote mwilini mwake. Inakuwa ndio kuchinjwa kwake. Kwa sababu hilo ndio liwezekanalo.
[1] al-Bukhaariy (3075).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 09/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)