Swali: Kichinjwa cha mtoto ambaye hajabaleghe ni halali?
Jibu: Ndio. Ikiwa ni mtoto mwenye uwezo wa kupambanua, ni halali kichinjwa chake. Kwa sababu atahudhurisha na yuko na nia na makusudio.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 09/12/2023
Swali: Kichinjwa cha mtoto ambaye hajabaleghe ni halali?
Jibu: Ndio. Ikiwa ni mtoto mwenye uwezo wa kupambanua, ni halali kichinjwa chake. Kwa sababu atahudhurisha na yuko na nia na makusudio.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 09/12/2023
https://firqatunnajia.com/kichinjwa-cha-mtoto-ambaye-hajabaleghe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)