Swali: Kuna mwindonesia anayetaka kuingia katika Uislamu. Je, watu wana haki ya kumfanyia taratibu za kusilimu au wahakikishe juu ya hali yake?
Jibu: Inatakiwa kufanya haraka kumsaidia, kumfanya kuwa na shauku ya Uislamu, kumpendezesha na kumrahisishia jambo lake kwa ajili ya kushirikiana katika wema na kumcha Allaah.
Swali: Kwa hivyo watu wasikague nia?
Jibu: Hapana, jambo lake aachiwe Allaah. Anatakiwa kujengewa dhana njema kwa ajili ya kumtia moyo wa kuingia katika Uislamu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22898/هل-يجب-التحقق-من-قصد-من-اراد-ان-يسلم
- Imechapishwa: 14/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)