Swali: Kitendo cha Salaf kuwakimbiza watu mbali na Ahl-ul-Bid´ah, kutahadharisha nao, kutokaa nao na kutowasikiliza ilikuwa ni kwa sababu ya kuwakimbiza watu mbali nao au ilikuwa ni kwa sababu ya kuogopa wasiingie ndani ya waliyoingia wao?
Jibu: Ilikuwa ni kwa sababu ya kuwakimbiza watu mbali nao na wasitumbukie ndani ya yale waliyoingia wao. Kwa msemo mwingine watu wawakimbie mbali ili wajirejee na watubu. Aidha yule mwenye kukaa nao asitumbukie katika yale waliyoingia wao.
Swali: Vipi kuwalingania?
Jibu: Ni vizuri. Ni katika kulingania kwa Allaah. Ni jambo zuri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22897/لماذا-نفر-السلف-من-اهل-البدع-وحذروا-منهم
- Imechapishwa: 14/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)