Swali: Mmiliki wa duka ana mfanyakazi anayemfanyia kazi na akamwambia kuwa mshahara wake unatokana na asimilia ya faida. Kwa mfano akipata faida ya 5% au 10 % basi mshahara wake unakuwa ni asimilia ya faida hii. Kwa mfano kukipatikana faida ya SAR 1000 basi katika 1000 anapata 1000.
Jibu: Akiwa na mfanyakazi ambaye ana mshahara wa kawaida ambapo akaweka kwake bidhaa na akaiuza kwa nusu ya faida au kwa theluthi ya faida, hapana vibaya kwa sababu ni biashara inayotambulika na si kwamba haijulikani.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22325/حكم-اعطاء-الاجير-اجرته-بنسبة-من-الربح
- Imechapishwa: 05/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)