Swali: Mtu ameingia msikitini na akamkuta imamu ameketi chini katika Tahiyyaat katika Rak´ah ya mwisho ambapo akajiunga naye na kuketi chini. Wakati aliposimama kukidhi Rak´ah zilizompita akawasikia watu wanaswali. Je, akate swalah yake hii na ajiunge pamoja na swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Ni mwenye kupewa khiyari; akitaka ataitaka na kujiunga pamoja nao kwa ajili ya manufaa ya kuswali na mkusanyiko na akitaka atakamilisha.
Swali: Ni kipi bora?
Jibu: Ni vizuri akiikata au akageuza nia kuwa ni swalah inayopendeza kisha akaenda kuswali pamoja nao.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22326/هل-التشهد-مع-الامام-افضل-ام-جماعة-اخرى
- Imechapishwa: 05/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)