Swali: Baba yangu ambaye ni kafiri ananipa hongera kwa sikukuu miongoni mwa sikukuu zao na huku anasubiri nimjibu kwa hongera hii. Je, nimjibu?
Jibu: Hapana, usimjibu. Haya ni maovu. Hakutolewi hongera kwa sikukuu za makafiri kwa kuwa ni sikukuu ambazo hazikuwekwa katika Shari´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (69) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-05-28.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Baba yangu ambaye ni kafiri ananipa hongera kwa sikukuu miongoni mwa sikukuu zao na huku anasubiri nimjibu kwa hongera hii. Je, nimjibu?
Jibu: Hapana, usimjibu. Haya ni maovu. Hakutolewi hongera kwa sikukuu za makafiri kwa kuwa ni sikukuu ambazo hazikuwekwa katika Shari´ah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (69) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-05-28.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/kumpa-hongera-baba-kwa-sikukuu-za-kikafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
