Swali: Inafaa kumsomea matabano ya Qur-aan mtu kafiri ambaye ni mgonjwa?
Jibu: Ndio. Kisa cha yule raisi wa kabila ambaye alikuwa mgonjwa wakawaomba Maswahabah wamsomee. Wakamsomea kwa sharti wawape jopo la kondoo. Wakamsomea na wakachukua kondoo na Allaah akamponya mgonjwa huyu. Lakini hawakuwatumia kondoo wale mpaka kwanza walipomuuliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akawakubalia jambo hilo na yeye akaomba fungu lake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Inafaa kumsomea matabano ya Qur-aan mtu kafiri ambaye ni mgonjwa?
Jibu: Ndio. Kisa cha yule raisi wa kabila ambaye alikuwa mgonjwa wakawaomba Maswahabah wamsomee. Wakamsomea kwa sharti wawape jopo la kondoo. Wakamsomea na wakachukua kondoo na Allaah akamponya mgonjwa huyu. Lakini hawakuwatumia kondoo wale mpaka kwanza walipomuuliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akawakubalia jambo hilo na yeye akaomba fungu lake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/inafaa-kumfanyia-ruqyah-kafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)