Swali: Kuna mtu ana deni kwenye benki moja. Kuna mtu mwingine anataka kumlipia deni hili kwa sharti ampe faida. Kuna njia wanayofanya mfano wa hii na siijui vizuri. Ni ipi hukumu?
Jibu: Haijuzu kumlipia deni kwa faida. Hii ni Ribaa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14705
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Kuna mtu ana deni kwenye benki moja. Kuna mtu mwingine anataka kumlipia deni hili kwa sharti ampe faida. Kuna njia wanayofanya mfano wa hii na siijui vizuri. Ni ipi hukumu?
Jibu: Haijuzu kumlipia deni kwa faida. Hii ni Ribaa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14705
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/kumlipia-mtu-deni-kwa-faida/