Swali: Baba yangu hana mtoto mwingine zaidi yangu. Daima ananitaka nimletee sigara nyumbani kutoka chumba kingine. Ni ipi hukumu ya kitendo changu hichi?
Jibu: Usimtii. Usimtii katika maasi ya Allaah. Mnasihi na umwambie kuwa haijuzu kwake kufanya hivo, kwamba ni haramu na kwamba inamsababishia madhara. Mwombe aache. Kuhusu wewe usimletee. Usimsaidie kumuasi Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
- Imechapishwa: 11/08/2024
Swali: Baba yangu hana mtoto mwingine zaidi yangu. Daima ananitaka nimletee sigara nyumbani kutoka chumba kingine. Ni ipi hukumu ya kitendo changu hichi?
Jibu: Usimtii. Usimtii katika maasi ya Allaah. Mnasihi na umwambie kuwa haijuzu kwake kufanya hivo, kwamba ni haramu na kwamba inamsababishia madhara. Mwombe aache. Kuhusu wewe usimletee. Usimsaidie kumuasi Allaah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
Imechapishwa: 11/08/2024
https://firqatunnajia.com/kumletea-baba-sigara/