Swali: Je, inafaa kumchinja mnyama mwenye magonjwa sugu yasiyopona kwa ajili ya kumstarehesha?
Jibu: Hapana. Inafaa kuchinja peke yake kwa ajili ya kula. Ikiwa anamchinja kwa ajili ya kumla, amchinje. Ikiwa hafikirii kumla, amwachie Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Pengine Allaah akamponya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 01/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)