Swali: Je, inafaa kumchinja mnyama mwenye magonjwa sugu yasiyopona kwa ajili ya kumstarehesha?
Jibu: Hapana. Inafaa kuchinja peke yake kwa ajili ya kula. Ikiwa anamchinja kwa ajili ya kumla, amchinje. Ikiwa hafikirii kumla, amwachie Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Pengine Allaah akamponya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 01/12/2023
Swali: Je, inafaa kumchinja mnyama mwenye magonjwa sugu yasiyopona kwa ajili ya kumstarehesha?
Jibu: Hapana. Inafaa kuchinja peke yake kwa ajili ya kula. Ikiwa anamchinja kwa ajili ya kumla, amchinje. Ikiwa hafikirii kumla, amwachie Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Pengine Allaah akamponya.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 01/12/2023
https://firqatunnajia.com/kumchinja-asiendelee-kuteseka/