Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”… yule mwenye kufuata mawindo anafanya upuuzi… ”[1]
Je, ina maana ya kwamba imechukizwa?
Jibu: Ndio, ikiwa ni pasi na haja. Kwa sababu akifukuza kiwindwa anaghafilika kutokana na kumtii Allaah, kuswali ndani ya wakati wake na mfano wa hayo.
[1] Abu Daawuud (2859), at-Tirmidhiy (2256), an-Nasaa’iy (4309) na Ahmad (3362). Swahiyh kwa mujibu wa Albaaniy katika “Swahiyh Sunan an-Nasaa’iy” (4320).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 01/12/2023
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”… yule mwenye kufuata mawindo anafanya upuuzi… ”[1]
Je, ina maana ya kwamba imechukizwa?
Jibu: Ndio, ikiwa ni pasi na haja. Kwa sababu akifukuza kiwindwa anaghafilika kutokana na kumtii Allaah, kuswali ndani ya wakati wake na mfano wa hayo.
[1] Abu Daawuud (2859), at-Tirmidhiy (2256), an-Nasaa’iy (4309) na Ahmad (3362). Swahiyh kwa mujibu wa Albaaniy katika “Swahiyh Sunan an-Nasaa’iy” (4320).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 01/12/2023
https://firqatunnajia.com/mawindo-yanayochukiza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)