Swali: Vipi ikiwa mtu anamtia mapungufu mwingine kwa njia ya mzaha?
Jibu: Haijalishi kitu hata kama ni kwa njia ya mzaha. Haisilihi kumchezea shere kasoro ya ndugu yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23402/هل-يجوز-التنقص-لو-كان-فاعله-مازحا
- Imechapishwa: 12/01/2024
Swali: Vipi ikiwa mtu anamtia mapungufu mwingine kwa njia ya mzaha?
Jibu: Haijalishi kitu hata kama ni kwa njia ya mzaha. Haisilihi kumchezea shere kasoro ya ndugu yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23402/هل-يجوز-التنقص-لو-كان-فاعله-مازحا
Imechapishwa: 12/01/2024
https://firqatunnajia.com/kumchezea-shere-ndugu-yako/