Swali: Je, mtu akifunga siku ya ´Aashuuraa´, siku ya ´Arafah na swawm ya masiku meupe zinasihi kutokana na yale masiku aliyokula [katika Ramadhaan]?
Jibu: Akizifunga kwa nia, akafunga siku ya ´Aashuuraa´, siku ya ´Arafah na masiku meupe kwa nia ya zile siku anazodaiwa, zinatosheleza. Kwani hakika si vyenginevyo kila kitendo kinalipwa kutegemea na nia.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/6542/حكم-صيام-يوم-عرفة-والايام-البيض-وعاشوراء-قضاء
- Imechapishwa: 20/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)