Swali: Je, kuna makatazo ya kulala baada ya swalah ya ´Aswr?
Jibu: Hakukupokelewa chochote. Sijui kama kumepokelewa chochote juu ya hilo. Isipokuwa baadhi ya maneno ya washairi. Lakini hayana mashiko. Hayazingatiwi.
Swali: Kwa hivyo hakuna ubaya?
Jibu: Hakuna neno. Hakuna ubaya.
Swali: Inachukiza kulala baada ya Maghrib?
Jibu: Ndio, inachukiza.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22096/حكم-النوم-بعد-صلاتي-العصر-والمغرب
- Imechapishwa: 22/10/2022
Swali: Je, kuna makatazo ya kulala baada ya swalah ya ´Aswr?
Jibu: Hakukupokelewa chochote. Sijui kama kumepokelewa chochote juu ya hilo. Isipokuwa baadhi ya maneno ya washairi. Lakini hayana mashiko. Hayazingatiwi.
Swali: Kwa hivyo hakuna ubaya?
Jibu: Hakuna neno. Hakuna ubaya.
Swali: Inachukiza kulala baada ya Maghrib?
Jibu: Ndio, inachukiza.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22096/حكم-النوم-بعد-صلاتي-العصر-والمغرب
Imechapishwa: 22/10/2022
https://firqatunnajia.com/kulala-baada-ya-aswr-na-baada-ya-maghrib/