Swali: Mwenye kuapa kwa asiyekuwa Allaah, anayazunguka makaburi na anafanya matendo ya kishirikina kwa ujinga.
Jibu: Afunzwe. Ni mshirikina kama washirikina kabla ya kuja Uislamu. Aamrishwe mpaka atubie.
Swali: Akifa juu ya hali hiyo anakufa akiwa ni mshirikina?
Jibu: Kama alikuwa akiyaabudu makaburi amekufa akiwa mshirikina. Hivyo hatoswaliwa, hatooshwa wala hatozikwa pamoja na waislamu.
Swali: Hata kama alikuwa mjinga?
Jibu: Hata kama alikuwa mjinga. Waabudia al-Badawiy na mfano wao ni katika makafiri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22067/حكم-من-يعمل-امورا-شركية-جاهلا
- Imechapishwa: 22/10/2022
Swali: Mwenye kuapa kwa asiyekuwa Allaah, anayazunguka makaburi na anafanya matendo ya kishirikina kwa ujinga.
Jibu: Afunzwe. Ni mshirikina kama washirikina kabla ya kuja Uislamu. Aamrishwe mpaka atubie.
Swali: Akifa juu ya hali hiyo anakufa akiwa ni mshirikina?
Jibu: Kama alikuwa akiyaabudu makaburi amekufa akiwa mshirikina. Hivyo hatoswaliwa, hatooshwa wala hatozikwa pamoja na waislamu.
Swali: Hata kama alikuwa mjinga?
Jibu: Hata kama alikuwa mjinga. Waabudia al-Badawiy na mfano wao ni katika makafiri.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22067/حكم-من-يعمل-امورا-شركية-جاهلا
Imechapishwa: 22/10/2022
https://firqatunnajia.com/anayefanya-matendo-ya-kishirikina-kwa-ujinga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)