Swali: Baadhi ya watu wanasema:
“Mwenye kuapa kwa jina la Allaah hali ya kuwa ni mwongo Allaah atamkata mgongo wake.”
Je, huku ni kwa minajili ya kumtia khofu?
Jibu: Sijafikiwa na hilo. Maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni:
“Yule mwenye kukata haki ya mtu muislamu basi Allaah amemuwajibishia Moto na amemuharamishia Pepo.”
Katika tamko lingine imekuja:
“Yule mwenye kuapa kiapo akiwa ni mwenye kumnyang´anya mali ya ndugu yake pasi na haki basi atakutana na Allaah hali ya kuwa amemkasirikia.”
Swali: Je, Allaah atamcheleweshea adhabu hiyo Aakhirah?
Jibu: Hiyo ni miongoni mwa adhabu zake. Pengine adhabu yake ikaharakishwa hapahapa duniani. Tunamuomba Allaah afya.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22070/ما-جزاء-من-يحلف-كاذبا
- Imechapishwa: 22/10/2022
Swali: Baadhi ya watu wanasema:
“Mwenye kuapa kwa jina la Allaah hali ya kuwa ni mwongo Allaah atamkata mgongo wake.”
Je, huku ni kwa minajili ya kumtia khofu?
Jibu: Sijafikiwa na hilo. Maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni:
“Yule mwenye kukata haki ya mtu muislamu basi Allaah amemuwajibishia Moto na amemuharamishia Pepo.”
Katika tamko lingine imekuja:
“Yule mwenye kuapa kiapo akiwa ni mwenye kumnyang´anya mali ya ndugu yake pasi na haki basi atakutana na Allaah hali ya kuwa amemkasirikia.”
Swali: Je, Allaah atamcheleweshea adhabu hiyo Aakhirah?
Jibu: Hiyo ni miongoni mwa adhabu zake. Pengine adhabu yake ikaharakishwa hapahapa duniani. Tunamuomba Allaah afya.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22070/ما-جزاء-من-يحلف-كاذبا
Imechapishwa: 22/10/2022
https://firqatunnajia.com/malipo-ya-mwenye-kuapa-hali-ya-kuwa-ni-mwongo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)