Swali: Mwanamme kukaa chemba na wanawake wawili ni jambo limekatazwa?
Jibu: Hapana vibaya. Kukaa chemba kulikokatazwa ni mwanamke akiwa mmoja. Lakini wakiwa watatu pasi na fitina na pasi na tuhuma hapana neno. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwanamme asikae chemba na mwanamke. Kwani hakika shaytwaan ndiye watatu wao.”
Wakiwa kuanzia wawili na zaidi inaondoka chemba. Isipokuwa kukiwa kuna tuhuma.
Swali: Ijapo mwanamke atakuwa mtumzima?
Jibu: Hata akiwa mtumzima. Hadiyth ni yenye kuenea. Kila chenye kutupwa kina mwenye kukiokota.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22094/حكم-خلوة-الرجل-بالمراتين
- Imechapishwa: 22/10/2022
Swali: Mwanamme kukaa chemba na wanawake wawili ni jambo limekatazwa?
Jibu: Hapana vibaya. Kukaa chemba kulikokatazwa ni mwanamke akiwa mmoja. Lakini wakiwa watatu pasi na fitina na pasi na tuhuma hapana neno. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwanamme asikae chemba na mwanamke. Kwani hakika shaytwaan ndiye watatu wao.”
Wakiwa kuanzia wawili na zaidi inaondoka chemba. Isipokuwa kukiwa kuna tuhuma.
Swali: Ijapo mwanamke atakuwa mtumzima?
Jibu: Hata akiwa mtumzima. Hadiyth ni yenye kuenea. Kila chenye kutupwa kina mwenye kukiokota.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22094/حكم-خلوة-الرجل-بالمراتين
Imechapishwa: 22/10/2022
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kukaa-chemba-na-wanawake-wawili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)