Swali: Msemo unaosema:
“Mgonjwa amejisikia vizuri kwa dawa hii.”
Jibu: Hapana, kusisemwi hivo. Matibabu haya ni sababu tu. Mtu anatakiwa kusema miongoni mwa sababu za Allaah kumponya ni kuwa amejitibu kwa dawa fulani, amefanya kitu fulani na amejikinga kwa kitu fulani. Hizi ni miongoni mwa sababu ambazo haitakiwi kunasibisha ponyo kwazo. Bali zinanasibishwa tu kuwa ni sababu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22097/حكم-قول-ما-طاب-المريض-الا-بهذا-العلاج
- Imechapishwa: 22/10/2022
Swali: Msemo unaosema:
“Mgonjwa amejisikia vizuri kwa dawa hii.”
Jibu: Hapana, kusisemwi hivo. Matibabu haya ni sababu tu. Mtu anatakiwa kusema miongoni mwa sababu za Allaah kumponya ni kuwa amejitibu kwa dawa fulani, amefanya kitu fulani na amejikinga kwa kitu fulani. Hizi ni miongoni mwa sababu ambazo haitakiwi kunasibisha ponyo kwazo. Bali zinanasibishwa tu kuwa ni sababu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22097/حكم-قول-ما-طاب-المريض-الا-بهذا-العلاج
Imechapishwa: 22/10/2022
https://firqatunnajia.com/kusema-dawa-fulani-ndio-imemponya-mgonjwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)