Swali: Hadiyth inayokataza kuegemea?
Jibu: Hakuna makatazo. Kilichopo ni kwamba amesema kuwa yeye hali kwa kuegemea. Ameeleza kuwa yeye hali kwa kuegemea.
Swali: Kwa hiyo bora ni kuacha kufanya hivo?
Jibu: Hapana, hapati dhambi. Hata hivyo bora ni kuacha kufanya hivo kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kuwa yeye hali kwa kuegemea. Hajasema msile. Alisema kwamba yeye ndiye hali. Inafahamisha kuwa kuacha hivo ndio bora na kwamba Sunnah ni kumuigiliza (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika jambo hilo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24267/حكم-الاتكاء-عند-الاكل
- Imechapishwa: 21/09/2024
Swali: Hadiyth inayokataza kuegemea?
Jibu: Hakuna makatazo. Kilichopo ni kwamba amesema kuwa yeye hali kwa kuegemea. Ameeleza kuwa yeye hali kwa kuegemea.
Swali: Kwa hiyo bora ni kuacha kufanya hivo?
Jibu: Hapana, hapati dhambi. Hata hivyo bora ni kuacha kufanya hivo kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kuwa yeye hali kwa kuegemea. Hajasema msile. Alisema kwamba yeye ndiye hali. Inafahamisha kuwa kuacha hivo ndio bora na kwamba Sunnah ni kumuigiliza (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika jambo hilo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24267/حكم-الاتكاء-عند-الاكل
Imechapishwa: 21/09/2024
https://firqatunnajia.com/kula-kwa-kuegemea/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
