Swali: Naomba uninasihi kwa sababu ni mimi ni dhaifu katika jambo la kuamrisha mema na kukataza maovu.
Jibu: Nasaha ni kwamba ufanye kile unachoweza. Fanya unachoweza katika kuamrisha mema na kukemea maovu ijapo kwa moyo, ambalo ndio jambo la mwisho kabisa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (03)
- Imechapishwa: 22/02/2024
Swali: Naomba uninasihi kwa sababu ni mimi ni dhaifu katika jambo la kuamrisha mema na kukataza maovu.
Jibu: Nasaha ni kwamba ufanye kile unachoweza. Fanya unachoweza katika kuamrisha mema na kukemea maovu ijapo kwa moyo, ambalo ndio jambo la mwisho kabisa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (03)
Imechapishwa: 22/02/2024
https://firqatunnajia.com/kukemea-maovu-ijapo-kwa-moyo/